Pages

Saturday, 22 June 2013

RAISI WA WENGE MUSICA MASON MERE WERRASON ACHAGULIWA KUWA BALOZI WA AMANI KWA NCHI ZA AFRICA

Raisi huyo ambae pia ni mmiliki wa band ya Wenge Maison Mere ameteuliwa kuwa balozi  wa afrika kwa ajili ya kushughulikia  maswala ya watoto askari barani humo


sherehe hiyo ilifanyika kinshasa amabpo ilihudhuliwa na viongozi mbalimbali wa africa ili kumuunga mkono mwanamuziki huyo ambae ndio balozi,na baadhi ya viongozi waliohudhuria ni kutoka UNESCO,UN na wakisindikizwa na waziri wa utamaduni wa CONGO DRC
Baada ya uteuzi huo kuna party ambazo zimeandaliwa kwa ajili ya mwanamuziki huyo ambapo zitafanyika huko Drc
Werrason aliongozana na wanamuziki wa band yake nao pia wamesema kuwa wamefurahishwa sana na uongozi wa kiongozi wao kwani wanaona jinsi gani ambavyo raisi wao amekuwa akijituma kwa bidii katika kufanikisha mambo mbalimbali
Kwa muda mrefu sasa Werrason ni nyota ambae ameng'ara katika muziki wa dance barani affrica na hata duniani nzima kwa ujumla kumbuka kwamba werrason ni kati ya waanzilishi wa wenge musica BCBG 4*4 kipindi inaanzishwa
MERCI

No comments:

Post a Comment