
sherehe hiyo ilifanyika kinshasa amabpo ilihudhuliwa na viongozi mbalimbali wa africa ili kumuunga mkono mwanamuziki huyo ambae ndio balozi,na baadhi ya viongozi waliohudhuria ni kutoka UNESCO,UN na wakisindikizwa na waziri wa utamaduni wa CONGO DRC
Baada ya uteuzi huo kuna party ambazo zimeandaliwa kwa ajili ya mwanamuziki huyo ambapo zitafanyika huko Drc
Werrason aliongozana na wanamuziki wa band yake nao pia wamesema kuwa wamefurahishwa sana na uongozi wa kiongozi wao kwani wanaona jinsi gani ambavyo raisi wao amekuwa akijituma kwa bidii katika kufanikisha mambo mbalimbali

MERCI
No comments:
Post a Comment