Pages

Sunday, 25 August 2013

MWIMBAJIWA MUZIKI WA DANCE NCHINI CHARLES BABA AMEAMUA KUACHANA NA UBACHERA

Charles baba ambae ni mwimbaji na ni raisi wa band  ya mashujaa musica band ameamua kufunga ndoa jana jumamosi katika kanisa la Mt Petro jijini Dar es salaam
Charles Baba ameamua kuoa na kuachana na mambo ya ukapela kwa sasa amepata kifaa kipya zaidi  ambacho ndicho chaguo lake katika maisha yake yote ameamua kufunga nae pingu za maisha ,Chrles Baba amesema  huyu ndie chaguo langu ambae nimeamua kula nae kiapo kanisani kwani ni jambo la kumshukuru mungu 
CHARLES BABA NA REHEMA SOSPETER
Charles Gabriel Cyprian amemuoa Rehema sospeter marwa murimi mtoto wa kikurya  jumamosi hii ambapo walifunga ndoa katika kanisa la  Parokia ya Mt Petro Oysterbay jijini Dar es Salaam  kuwa ndie muke wake wa ndoa
PONGEZI ZA DHATI PRESIDENT KUTOKA KWA SAFU YA QUEEN JOZZEE  MAMA AFRICA MOTO na wadau wote wa music wa dance



No comments:

Post a Comment