Pages

Sunday, 23 June 2013

MKALI WA DRUMS NCHINI MARTIN KIBOSHO KUNGA'RA ZAIDI NCHINI INDONESIA

Mkali wa drums nchini tanzania ambae anaitumikia bandi ya Extra bongo chini ya uongozi wake Ally Choki ameonekana kuwa nyota zaidi katika upigaji wake wa kazi hapa nchini kwa sasa yupo Indosesia kikazi amesema anatarajia kurudi nchini hivi karibuni mara baada ya kumaliza ziara yake nchini humo
Martini kKibosho ambae alienda kikazi ambapo mara nyingi hufanya kazi na band ya morther Africa ambayo humchukua kila mwaka kutokana na kukubali kazi yake
Kibosho amesema onyesho hilo hua ni la kimataifa ambapo hufanyika nyichi mbali mbali ambapo kwa sasa yupo na wanamuziki wa nchi mbalimbali kwa ajili ya onyesho hilo amesema anamshukuru mungu mpaka hapo alipo kwa sasa na kuwashukuru uongozi wa band yake ya extra bongo
Kibosho amesema toka ameondoka nchini anamiezi mitatu mpaka sasa na anatarajia kurudi nchini Tanzania mwezi wa nane ili kuendelea kuitumikia band yake ya Extra bongo
namshukuru sana raisi wa band ynagu ya Extra Bongo Ally Choki kwa kuwa pamoja nami bega kwa bega kwa kunisapport mpaka leo hii amezungumza Martin Kibosho akipokuwa akizungumza leo mapema na Queen Jozzee wasafu ya AFRIQUE MOTO.Ukiona hii like blog hii ili tucheze wote.
                                                    TUCHEZE AFRICA MOTO PAMOJAA.

No comments:

Post a Comment