Bokilo ambae amewahi kuimba na kundi la soukous stars na alikuwa akiimba nyimbo za mtindo wa soukous ambao asili yake ikiwa ni congo kinshasa na congo brazzaville ambapo mziki huu ulianza pale 1930 amesema japo bado yupo na kundi hilo lakini anafanya kazi za kujitegemea kama solo artist
Bokilo ambae ameimba na wanamuziki mbalimbali kama lokasa ya mbongo na wengine wengi na kutamba na nyimbo zake mahili duniani kama vile one way,missete,aicro de toi,aziza,djoukende,mwasi,ngoma,retuorne toi,robin na nyingine nyingi,Bokilo amesema kutokana na shoo ambayo wanayo ya kwenda canada akiwa na kundi zima la soukous stars akirejea ataendelea na kazi zake za kumalizia album yake studio
No comments:
Post a Comment