Pages

Saturday, 22 June 2013

BAADA YA KUTOKA EXTRA BONGO RAMA NA KUHAMIA TWANGA PEPETA PENTAGO AMJIPANGA UPYA

Baada ya kuitumikia band ya extra bongo kwa muda mrefu mwanamuziki Rama Pentagon na kuhamia band ya The African stars wana wa kutwanga na kupepeta Pentagon amesema kwa sasa amejipanga upya kwa ajili ya kuimarisha kipaji chake ambapo kila mutu anajua kuwa Rama anamchango gani katika game la muziki wa muziki nchini
pentagoni ni miongoni mwa wanamuzi ambao wameonekana kuwa nyota ya muziki huu wa dance kwa muda murefu hapa nchini tanznia
pentagoni alihamia twanga mara baada ya kufanya kazi kwa muda mrefu katika band ya Extra Bongo chini ya uongozi wake Mzee wa farasi Le Kamarade Ally Choki.
Pentagoni amesema hayo aliokuwa akizungumza na safu ya   Africa Moto baada ya kuingia katika band ya Twanga  pepeta amesema kwa sasa yupo mbioni kutoa nyimbo zake mbili matata ambazo zitafanya vizuri katika muziki huu kwa sasa yupo katika mazoezi ambapo twanga pepeta wanrajia kuzindua album yao ya nyumbani ni nyumbani Pentagon amesema nyimbo ambazo atazitoa ni thamani ya mtu na jirasi 
Pentagoni amewashukuru sana mashabiki wote ambao wamempokea vizuri baada ya kutua twanga pepeta
                                TCHEZE PAMOJA AFRICA MOTO NA QUEEN JOZZEE

No comments:

Post a Comment