Band ya Ten Brothers band kutoka Mkoani Dododma kwa sasa wamejipanga upya mara baada ya kutoka katika wwakati mgumu wa kusambaratika kwa wanamuzi mbalimbali ambao walikuwa katika band hiyo
Kiongozi wa band ya Ten brothers Bwana Juma Kibonge amesema kuondoka kwa aliekuwa manager wa band hiyo pamoja na baadhi ya wanamuziki hakuja athiri kitu chochote katika band yake na anaamini kuwa mpaka sasa watafanya vizuri katika muziki huu wa dance mkoani hum
Bwana Kibonge amesema mpaka sasa kuna nyimbo nyingi mpya ambazo ziko tayari na ni nzuri zaidi achilia mbali na nyimbo ya nyumbani ni yumbani na nyingine nyingi za zamani
Kibonge amesema kwasasa wanamuziki wapya ambao wanfanya kazi yake vizuri na kwa sasa wanamadancer wa kike watatu ambao wamesajiliwa jana katika band hiyo
BURUDIKA NA AFRICA MOTO.
No comments:
Post a Comment