Pages

Sunday, 23 June 2013

BAADA YA KUSAMBARATIKA KWA WANAMUZIKI WA BAND YA TEN BROTHERS SASA KUJA KIVINGINE

Band ya Ten Brothers band kutoka Mkoani Dododma kwa sasa wamejipanga upya mara baada ya kutoka katika wwakati mgumu wa kusambaratika kwa wanamuzi mbalimbali ambao walikuwa katika band hiyo

Kiongozi wa band ya Ten brothers Bwana Juma Kibonge amesema kuondoka kwa aliekuwa manager wa band hiyo pamoja na baadhi ya wanamuziki hakuja athiri kitu chochote katika band yake na anaamini kuwa mpaka sasa watafanya vizuri katika muziki huu wa dance mkoani hum
Bwana Kibonge amesema mpaka sasa kuna nyimbo nyingi mpya ambazo ziko tayari na ni nzuri zaidi achilia mbali na nyimbo ya nyumbani ni yumbani na nyingine nyingi za zamani

Kibonge amesema kwasasa wanamuziki wapya ambao wanfanya kazi yake vizuri na kwa sasa wanamadancer wa kike watatu ambao wamesajiliwa jana katika band hiyo
                                             BURUDIKA NA AFRICA MOTO.

No comments:

Post a Comment