
baada ya kuzungumza na Liva katika safu ya Africa moto ambae ni raisi ya band ya Diamond amesema kwa sasa diamond imemchukua Belaa kwa ajiri ya kufanya nae shoo tano ambazo zinatarajia kufanyika
LIva amesema mbali na christiani bella imemchukua pia Ndanda cCossovo ambae ampapo imeshamsajili katika bandi ya diamond sound origina
Liva amesema Christian Bella hajatoa kauli yake kuwa atafanya na band gani kati ya akudo na diamond
No comments:
Post a Comment