Pages

Friday, 21 June 2013

HATIMAYE RAISI WA AKUDO CHRISTIAN BELLA KUTUA NCHINI BAADA YA KUONDOKA KWA MUDA MREFU

Raisi wa band ya Akudo Impact Chrisitian Bella amerejea nchini baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu nchini sweden ambapo alienda kikazi ,Chrisitian Bella amerejea na kwa sasa atafanya kazi na band ya Diamond sound Original chini ya uongozi w Liva

baada ya kuzungumza na Liva  katika safu ya Africa moto ambae ni raisi ya band ya Diamond amesema kwa sasa diamond imemchukua  Belaa kwa ajiri ya kufanya nae shoo tano ambazo zinatarajia kufanyika
LIva amesema mbali na christiani bella imemchukua pia Ndanda cCossovo ambae ampapo imeshamsajili katika bandi ya diamond sound origina
Liva amesema Christian Bella hajatoa kauli yake kuwa atafanya na band gani kati ya akudo na diamond

No comments:

Post a Comment